15 Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu.16 Maandiko yasema: "Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu."
publicidade
15 Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu.16 Maandiko yasema: "Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu."