publicidade

Efésios 4

31 Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele, matusi! Achaneni na kila uovu!32 Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe ninyi kwa njia ya Kristo.

publicidade