publicidade

8 Zamani ninyi mlikuwa gizani, lakini sasa ninyi mko katika mwanga kwa kuungana na Bwana. Ishini kama watoto wa mwanga:

9 maana matokeo ya mwanga ni wema kamili, uadilifu na ukweli.

10 Jaribuni kujua yale yanayompendeza Bwana.