publicidade

Marcos 1

23 Mara akatokea mle ndani ya sunagogi mtu mmoja mwenye pepo mchafu,24 akapaaza sauti, "Una nini nasi, wewe Yesu wa Nazareti? Je, umekuja kutuangamiza? Najua wewe ni nani: wewe ni Mtakatifu wa Mungu!"25 Yesu akamkemea, "Nyamaza! Mtoke mtu huyu."26 Basi, huyo pepo mchafu akamtikisatikisa mtu huyo, kisha akalia kwa sauti kubwa, akamtoka.

publicidade