publicidade

Marcos 10

6 Lakini tangu kuumbwa ulimwengu, Mungu aliumba mwanamume na mwanamke.7 Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe,8 nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.9 Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asitenganishe."

publicidade