publicidade

Mateus 6

30 Ikiwa basi Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatafanya zaidi kwenu ninyi? Enyi watu wenye imani haba!31 "Basi, msiwe na wasiwasi: Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!

publicidade