publicidade

24 Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?

25 Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.