publicidade

Romanos 8

6 Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uzima na amani.7 Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii.8 Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

publicidade