9 Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,10 naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini.
publicidade
9 Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,10 naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini.